Thursday, April 9, 2015

Usiku wa Delfine Samson


Kamera ya Simu ilipata nafasi ya kuhudhuria Usiku wa Delfine ambaye aliagwa na wazazi wake Tarehe 9 Apr 2015 ili akaanze maisha ya familia na kijana Daudi Zakaria. Arusi yao itakuwa tarehe 12 April 2015.

Hizi ni baadhi tu ya picha za yaliyojiri kwenye tukio hilo lililofana sana.
Delly na wapambe wake...



Uso wa matumaini kutoka kwa mtarajiwa Daudi Zakaria

Kaka wa Bwana Arusi; Kaka G, Salum Nkanga na Urio

Dada Mkubwa pia alikuwepo.


Mtu na mtuwe



Miziki sasa









Huyu nilimpenda bure kabisa...



No comments:

Post a Comment