Tuesday, March 17, 2015
Hapa na Pale.
Hapa, Nikiwa napokea hekima kutoka kwa bibi...
Pale; mavuno tayari kulee kwa wakulima...
Maswahibu ya barabarani...Jam
Kiajan wa boda boda akiwa amelala katikati ya barabara baada ya kuanguka. Alionekana ni kama mtu aliyetumia kilevi kabla ya kuanza kuendesha hii pikipiki. Tuachane na ulevi jamani.
Saturday, March 7, 2015
Ujumbe: Aliye nyuma usidhani kakwama!
Ugali wa Kwetu - Usukumani.
Ukifika kwetu wakati wa mlo ni lazima ushiriki, ndivyo tulivyofunzwa, UKARIMU.
Ugali wa dona, maharagwe na dagaa. Nyanguge, Magu.
Wednesday, March 4, 2015
Somewhere in Mwanza along lake Victoria.
See how beautiful the lake shore is.
Monday, March 2, 2015
Bongo Dar Es Salaam
Mijengo mipya inazidi kuchomozea huku Dasalaam! Asante sana mdau!
Sunday, March 1, 2015
Tunaandaa shamba letu.
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)