Wanafunzi, Kisesa Mwanza |
Tuesday, February 24, 2015
Monday, February 16, 2015
Igoma mpaka Kisesa, Mwanza
Maisha.
Jeneza lenye mwili wa Marehemu bibi Kisena likiwa kanisani kabla ya mazishi. |
Nimejifunza yafuatayo;
1. Penda kwa moyo wote. Na kama unampenda mtu umwambie usikae kimya. Unaweza ukachelewa.
2. Weka utaratibu wa kuwatembelea watu na jitahidi kuwafahamu. Huwezi kufahamu jinsi utakavyoyaathiri maisha yao.
3. Tabasamu kwa kila mtu hata kama humjui, itaifanya siku yake iwe nzuri.
Bibi kisena amemaliza kazi yake, amepumzika. Change today for tomorrow.
Sunday, February 15, 2015
Sunday, February 1, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)